Mwanzo Kuandaa Shamba Mbegu & Kupanda Kutunza Shamba Kuvuna & Kuhifadhi Maswali | Majadiliano Mawasiliano & Ushauri Uza na Kununua

Nyaraka Muhimu Kilimo cha Mahindi

Nyaraka Maelezo
1. Mwongozo wa Kilimo cha Mahindi.
Umeandaliwa na Zabron M. Msengi na Kheri M. Kitenge. Unazungumzia uzalishaji wa Mahindi Tanzania ukanda wa chini na kati. Kimepatikana kutoka: TARI
2. Uzalishaji Bora wa Mahindi Kanda ya Mashariki (Mikoa ya Tanga, Pwani, Dar es salaam na Morogoro)
Kimeandikwa na: George M. Iranga, Salum J. Mbegu, Adrian B.C Mbiza, Kheri Kitenge, na Amos Chilagane. Kimechukuliwa kutoka: TARI
3 2
4 2
5 2