Katika sehemu hii tutazungumzia; kazi katika kuandaa shamba, matumizi ya moto, njia za kulima na zana za kulimia, mahitaji ya mahindi (udongo unaofaa na hali ya hewa inayofaa) na vitu vinavyosababisha rutuba kupotea kutoka kwenye shamba.
Ondoa vichaka | Kata nyasi zibaki fupi |
Ondoa vichuguu | Ng'oa visiki shambani |